WhatsApp
+255 767 485 129 · phamtjerusalemdodomatv@gmail.comMakole, Dodoma

TOA KWA MOYO WA FURAHA

Give

Shiriki katika kuendeleza kazi ya Mungu kwa moyo wa hiari.

KWA NINI TUNATOA?

Kushiriki katika kazi ya Mungu

Utoaji wetu ni tendo la ibada na shukrani. Unasaidia mahubiri ya Injili, malezi ya watoto na vijana, umisheni, ujenzi na huduma kwa jamii.

2 WAKORINTHO 9:7
“Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu.”

NJIA ZA KUTOA

Taarifa rasmi zitawekwa hapa

Akaunti ya benki na namba za malipo zitaongezwa baada ya kuthibitishwa na uongozi wa kanisa.

Linda utoaji wako

Tumia taarifa rasmi zilizochapishwa kwenye website hii pekee. Kanisa halitaomba PIN au password yako.