Maono
Kumfikia kila mtu kwa Injili ya Kristo.
KUHUSU SISI
Zaidi ya miaka sitini ya kuhubiri Injili, kujenga waamini na kuanzisha kazi mpya.
MWANZO WETU
PHAMT Jerusalem Makole ilianzishwa baada ya Mchungaji Aron James Nswebe kufika Dodoma kutoka Mbeya. Kupitia uongozi wa wachungaji waliofuata, usharika uliendelea kukua na kuwa msingi wa huduma nyingi.
Kanisa limechangia kuenea kwa Injili kupitia umisheni, kuanzisha matawi, kulea viongozi na kuifikia jamii.

MWELEKEO WETU
Kumfikia kila mtu kwa Injili ya Kristo.
Kuhubiri, kufundisha na kulea waamini.
Kuwahudumia watu kwa huruma na heshima.
Kuanzisha na kuimarisha kazi mpya.
UONGOZI
Tunashukuru kwa watumishi wanaoliongoza Kanisa la PHAMT na usharika wetu kwa uaminifu.

The Third Archbishop of the PHAMT Church.
Anaongoza Kanisa la PHAMT katika kuhubiri Injili, kujenga viongozi na kuimarisha huduma.

Akiwa pamoja na mkewe, anaongoza PHAMT Jerusalem Makole katika ibada, mafundisho, umisheni na huduma kwa jamii.
URITHI WA UONGOZI
Tunawaheshimu watumishi walioweka msingi na kuendeleza huduma.

Akiwa pamoja na Mama Mchungaji Berita Aron Nswebe, aliweka msingi wa usharika na umisheni.

Aliendeleza kazi ya huduma na ukuaji wa usharika.

Aliimarisha waamini na ushirika wa kanisa.

Aliendeleza huduma na maandalizi ya kizazi kinachofuata.